Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Prof.Jumanne Maghembe. Akitangaza Matokeo hayo Prof. Maghembe alisema kuwa mkoa wa kwanza kwa ufaulu ulikuwa ni Dar-es-salaam, ukifuatiwa na Arusha na watatu ukiwa ni mkoa wa Iringa. Kwa ujumla wake matokeo ya mwaka huu yameshuka kwa takribani asilimia 3 ukilinganisha na yale ya mwaka jana.
Friday, December 11, 2009
MATOKEO YA DARASA LA SABA 2009 OVYO.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments :
Post a Comment