Watoto wawili wa Marehemu Donald na James Moshi, na ndugu wengine, waliungana kwa misa hiyo iliyofanyika alasiri na kufatiwa na chakula cha pamoja
Mch John Kadyolo akifungua misa kwa maombi
Wanafamilia
Richard Mollel akisoma somo la kwanza
Janice Manse akisoma somo la pili |
Joseph Maro akisoma historia ya marehemu Gren Judica Moshi
Julius Manase, akiongoza utaratibu wa ibada
Mchungaji Ferdnand Shideko akihubiri |
Wachungaji wakiombea familia
Watoto wa Marehemu, Donald na James Moshi wakifuatilia Ibada
Andrew Mushi akitoa shukrani kwa niaba ya familia
No comments :
Post a Comment